Search results

  1. L

    Ubishi wa nani mkali kati ya Aziz Ki na Chama si umeisha leo, au bado?

    Kuna ubishani mwingine huwa nauita wa kijinga, na huwa naishia kucheka tu. Tangu mwanzo niliamini muda utaongea huko tuendako nani ni mkali haswaa; Stephano Aziz-Ki au Chama? Huu ubishani wa kipuuzi ni sawa na Ile wa Messi na Ronaldo tu. Yaani Chama mwenye kipaji chake na akili ya soka...
  2. L

    Nchi yetu imelogwa au ni ya kichawi

    Kuna watu wamekuwa wakinong'ona kuwa Taifa letu limelogwa na hivyo tutahangaika sana kama taifa kujiletea maendeleo. Nilikuwa siamini ila sasa nimeanza kuamini. Kwanini? Kuna mambo fulani yanayoendelea kwenye siasa,uchumi,jamii yanavunja moyo sana.Lakini huku kwenye soka ni kabisaaa..! Kabla...
  3. L

    Kwa anayehitaji mbegu za Mlonge kwa wingi

    Hizi mbegu pamoja na majani,magome na mizizi ya mti wa Mlonge vimekuwa na faida nyingi za kiafya kwa watu. Sasa kuna eneo moja huko mikoani nilikoenda kutembelea ndugu zangu nimekuta hiyo miti ipo mingi sana. Kwakuwa ni majira ya kiangazi,miti hii imepukutisha majani yake kama miti mingine...
  4. L

    Hivi huyu Vandernbroeck anatutafuta nini Wanamsimbazi?

    Jana ameiangamiza timu yetu, jana ametuumiza Wanasimba. Na hii si mara yake ya kwanza kutufanyia hivi. Wale Platinum FC kwa jinsi nilivyowaona si wakali sana wa kututisha (najua game ijayo tutapindua matokeo) ila game plan ya Mwalimu wetu na zile sub zake za hovyo ndo zilizotugharimu. Kulikuwa...
  5. L

    AFC Leopards vs Yanga

    Ni dakika ya 51:03' hadi sasa, na matokeo ni 0 - 0. Naona Yanga wanajitahidi ku-perform hapa, wamewazidi kiasi AFC (moja ya timu kubwa kwenye ukanda wa Afrika Mashariki). Yanga wameonyesha ku-improve kwenye mechi hii, tofauti na ile waliyocheza dhidi ya Polisi waliyolala 2 - 0. Pamoja na hayo...
  6. L

    FT:Yanga 1 - 1 Malindi

    Yanga walianza kufunga first half kupitia kwa Deus Kaseke, na baadaye kwenye dakika za lala salama (dk.94) Malindi wakasawazisha na hivyo mpira kuisha kwa magoli 1 - 1. Niliyobaini kwenye mechi hii: Kwanza;inaonyesha Yanga hawajajipanga kwa michuano mikubwa.Kwanini nasema...
  7. L

    Natafuta nyimbo za kwaya ya Waswideni(Huru Singers) miaka ya 1990s

    Waimbaji wa kwaya hii walikuwa wanaimba nyimbo za Kiswahili.Wengi wa o walikuwa wazungu(kutoka Sweden) na wabongo wachache.Ilikuwa na nyimbo murua sana. Baadhi ya nyimbo zao ni kama;Roho Mtakatifu,Nimeshinda,Yesu Anaokoa,n.k Mfano wa mashairi kwenye wimbo huo wa Roho Mtakatifu ni...
  8. L

    NDANDA VS YANGA

    Hadi dakika ya 60' matokeo yalikuwa Ndanda 1 - 0 Yanga. Dakika ya 61' Jaffary Mohammed akaisawazishia Yanga,na matokeo kuwa Ndanda 1 - 1 Yanga. Nilichojifunza: Yanga wanakuwa obsessed sana na mechi za kimataifa za Simba,kuliko Simba wenyewe. Kama hujanielewa ni hivi;Inapotokea Yanga...
  9. L

    Kuelekea Jumapili:Kumbukumbu yangu ya Simba SC vs Nkana FC mwaka 1994.

    Zingatia:Kabla sijaenda mbali zingatia hili-katika mara zote walizokutana Simba SC haijawahi kuifunga Nkana au kutoa droo pale Kitwe,Zambia.Halikadhalika NKANA HAIJAWAHI KUIFUNGA au KUTOA DROO NA SIMBA HAPA NYUMBANI,TANZANIA.Nkana amekuwa akisonga mbele kutokana na kufunga magoli mengi akiwa...
Back
Top Bottom