DOKEZO Threads

A
Anonymous
Nashauri serikali iweke mifumo IMARA ili fedha za elimu bure zitumike Kama malengo yalivyo na siyo kuachia wakuu wa shule wazitumie tofauti na matakwa ya serikali. Baadhi ya shule zimekuwa...
1 Reactions
1 Replies
125 Views
A
Anonymous
Kuna wakati tuliungana kuomba mkopo unaotolewa na serikali kwa kweli tulifanikiwa katika hatua zote mpaka usajili wa kikundi tulipata tukafungua na account bank ya kikundi na mradi wetu na wazo...
0 Reactions
3 Replies
80 Views
Wazazi wa Wanafunzi waliomaliza Kidato cha Nne 2023 wamepokea ujumbe mfupi wenye taarifa halisi za Watoto kutoka Chuo cha Tabora Polytechnic kilichopo Tabora Mjini. Ujumbe huo ulisomeka kuwa...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
A
Anonymous
Jamani kuna tatizo kwenye mabucha ya nyama hasa mitaa ya Mbezi Beach, wanajifanya wanauza nyama bei rahisi kumbe kwa kila kilo wanapunguza gram 200. Wanaohusika tunaomba mtuokoe, sina details...
5 Reactions
28 Replies
650 Views
A
Anonymous
Kumekuwa na tabia ya utapeli wa kupangwa walengwa wakubwa wakiwa ni Mawakala wa huduma za kifedha haswa haswa wale ambao ni wapya katika eneo flani. Limetokea tukio maeneo ya Sinza Mapambano...
2 Reactions
17 Replies
691 Views
Kumeingia wimbi la kuuziwa michele ambayo imepakwa mafuta hasa Dar es saalaam na Pwani, Je serikali kupitia wizara na taasisi zao hawajaliona hili? Je, ni mafuta gani hayo yanapakwa kwenye...
3 Reactions
25 Replies
563 Views
Wakuu habari zenu? Leo Nataka kuzungumza pale Itigi kwenye geti la mazao na maliasili wale jamaa wanaongoza kwa kula rushwa yani ukifika pale na magendo wanakuchekeche lengo utoe mpunga tu Ili...
0 Reactions
14 Replies
311 Views
Habari za jioni watanzania wenzagu. Leo nimepokea taarifa kutoka kwa mtu wangu wa karibu aliyeko kigoma na kunihadithia matukio ya kuttisha na nimeona nilete hapa wa watalam tusaidiane. Kwanza...
0 Reactions
15 Replies
416 Views
A
Anonymous
Shule ya Sekondari ya Nshupu iliyopo Kijiji cha Nshupu, Wilaya ya Arumeru, Kata ya Nkoaranga Mkoani Arusha haina milango na katika baadhi ya majengo ikiwemo yale ambayo wanaishi Wanafunzi wa kike...
0 Reactions
2 Replies
279 Views
Hawa maaskari kutoka Bahi wanakera sana, unalazimishaje kuingia kwenye gari ya mtu na kutaka kuchomoa funguo? Gari yenyewe hata kukukimbia haiwezi, gari ina mali za mamilioni ya wafanyabiashara...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
A
Anonymous
Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma. Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya...
94 Reactions
479 Replies
21K Views
A
Anonymous
Kuna kitu kimejificha kwenye hili kati ya Pharmacy Council na wamiliki wa DLDM (Maduka ya Dawa Muhimu), Kwa nini mpaka leo dawa za antibiotics zinauzwa tu kwenye DLDM licha ya katazo? Wenye...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Hii ikufikie Boss wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (PCCB) wilaya ya Bunda mkoani Mara. Wiki hii Kuna kijana mmoja ambaye kaanzisha operation ya kupita kwa baadhi ya maduka ya...
3 Reactions
22 Replies
536 Views
A
Anonymous
Habari, Nimepoteza mtu wangu wa karibu sana siku ya jana kutoka Hospitali ya Mloganzila 😭😭😭😭😭😭😭. Hakuna daktari pale, kuna wanafunzi (interns) tu wanaotoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliye...
15 Reactions
53 Replies
2K Views
Moja ya changamoto ambayo imekuwa ikitawala kwenye midomo ya Watanzania wengi ni kuhusu suala la Wahudumu wa maduka ya dawa hasa yake ya mtaani. Kumekuwa na changamoto ambazo Wananchi wanaoenda...
2 Reactions
0 Replies
74 Views
A
Anonymous
UTAPELI MPYA ULIOZUKA MITANDAONI Habari wana Jamii Forums Kumekuwa na njia mpya ya utapeli mitandaoni ambayo inawaumiza wa Tanzania wengi na pia kuwaondolea uaminifu baadhi yao kwa jamii...
1 Reactions
0 Replies
60 Views
A
Anonymous (f37c)
Habari wakuu, Inasikitisha sana kuona kiongozi wetu badala awe mstari wa mbele kuwajali na kushirikiana na watumishi, yeye amekuwa ndio mtu wa kuwavunja ari, moyo, kukatisha tamaa na zaidi...
2 Reactions
18 Replies
812 Views
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Tanzania ondoka ofisini, na fanya ziara za kiwilaya na kimikoa, nenda katembelee wilaya ya Chunya, Kata ya Matundasi, Kijiji cha Itumbi, kuna wahamiaji haramu kutokea...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
Ni hivi leo tu Basata imempiga Faini ya Milioni 5 msanii Whozu kwa kuimba wimbo usio na Maadili lakini tunashangaa huyu Mtangazaji hajawahi kupewa hata Onyo. Oscar Oscar amekuwa gumzo mitandaoni...
26 Reactions
85 Replies
6K Views
A
Anonymous
Kata ya Nyamanoro Mkoani Mwanza wamekuwa wakiendesha kampeni ya kufunga maduka na kuchukua waliopo Madukani, hilo linafanyika kama unakuwa hujalipa Service Levy. Hili suala sijui limetoka wapi na...
0 Reactions
3 Replies
145 Views
Back
Top Bottom