Recent content by Zanzibar-ASP

  1. Zanzibar-ASP

    Hasira yatawala Moscow baada ya NATO kuiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Russia kwa silaha za NATO

    Mdogo mdogo vipi wakati Russia aliianzisha mwenyewe vita na sasa amechoka? Nani anataka kupigana vita muda mrefu? Russia ameanzisha vita lakini hajui namna ya kuimaliza.
  2. Zanzibar-ASP

    Hasira yatawala Moscow baada ya NATO kuiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Russia kwa silaha za NATO

    Putin ni muoga na dhaifu, anaigopa Nato. Putin ana mikwara kibao lakini action sifuri.
  3. Zanzibar-ASP

    Hivi kwanini wanasheria huwa wanaitana wakili msomi

    Wewe umejibu hoja. Wengi tumekuelewa. Hongera. Una kitu, utafika mbali.
  4. Zanzibar-ASP

    Hivi kwanini wanasheria huwa wanaitana wakili msomi

    Bado hujajibu hoja. Sote tunajua, huwezi kuwa mwanasheria kama hujasoma na kufuzu, hivyo neno mwanasheria limebeba usomi ndani yake. Sasa nini mantiki ya kuitwa mwanasheria msomi? Je, kuna wanasheria wasio wasomi?
  5. Zanzibar-ASP

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Ndugu yangu Dar inabebwa na vitu viwili tu. 1. Bandari 2. Wingi wa watu. Kumbuka tu, 35% ya pato la taifa linatokana na Bandari, na 10% ya watanzania wako Dar na kati yao 90% wanaishi mjini. Penye watu, penye mji, pana shughuli na pana pesa. Huwezi kulazimisha Arusha iwe na shughuli nyingi...
  6. Zanzibar-ASP

    Kwanini Mbunge Job Ndugai huwa hachangii chochote bungeni?

    Nadhani Ndugai yuko kwenye "detention", anaogopa kufa, anapenda kuendelea kuishi. Kilichomkuta kipindi kile kule sirini, labda atakuja kuwasimulia wajukuu zake.
  7. Zanzibar-ASP

    Hivi Karia lini anamaliza Mhula wake wa Uongozi?

    Karia muda wake unakwisha May, 2025. Na hatapaswa kugombea tena kwa mujibu wa katiba ya TFF. Mpaka kufikia mwakani muda wake utakapokuwa umekwisha Karia atakuwa amehudumu kwa miaka nane, ikiwq ni vipindi viwili vya miaka minne minne. Kwa wale ambao hatukuwahi kumkubali Karia na kuchoshwa na...
  8. Zanzibar-ASP

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Kipindi pekee ambacho Arusha ilipitia hali mbaya zaidi kiuchumi ni kipindi cha Covid, na hapo kabla kile kipindi cha Magufuli. Lakini tangu huyu mama Samia aingie, flow ya pesa imeongezeka zaidi kupitia Utalii.
  9. Zanzibar-ASP

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Mimi ni mdau wa Utalii, Arusha naijua lakini hicho unachokisema kuhusu Utalii ni uongo mkubwa. Mnyororo wa Utalii ni mrefu na mpana mnoo kwa jiji la Arusha, sidhani kama kuna mji hapa Tanzania wenye mnyororo unaokaribiana na huo. Kwa kifupi sana ukiondoa kodi za serikali (ambazo hazizidi 1/3 ya...
  10. Zanzibar-ASP

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Mji ambao anaweza akauziwa kitu mchina, mzungu, mhindi, mjapani, mkenya, mnyarwanda, msomali au mjamaika bila shida yoyote, sasa wewe mndengereko kwanini usiuziwe kama una pesa? Arusha ni mji wa pesa, ukiwa na pesa utauziwa au kununua chochote, ukiwa huna hela utakuwa na maneno mengi tu ukitaka...
  11. Zanzibar-ASP

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Huku zenji huwa tunaangalia kama una sigida usoni, umevaa barakashea kichwani, kanzu, msuli au kobazi ili tukuuzie kitu au tununue kitu. Kama unataka kujua au kujifunza ubaguzi hapa Tanzania basi njoo Zenji.
  12. Zanzibar-ASP

    Huenda mgogoro wa Kidiplomasia ukaanza kati ya Tanzania na Malawi baada ya uboreshaji wa Bandari ya Mbamba Bay kuanza

    Mkataba wa umiliki wa Ziwa Nyasa ni mtata sana, na tukisema mkataba wa Kikoloni utumike vile vile ulivyo basi lile ziwa litafutika! Ni kweli, kimkataba (toka mkoloni) Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi kwa 100%. Lakini linapakana na nchi kadhaa ambapo kimataifa mpaka unapaswa kupita katika ya ziwa...
  13. Zanzibar-ASP

    Huenda mgogoro wa Kidiplomasia ukaanza kati ya Tanzania na Malawi baada ya uboreshaji wa Bandari ya Mbamba Bay kuanza

    Hata Berlin Comference ulikuwa ni mkutano wa wahuni kujigawiwa bure bure, kienyeji, kiwizi na kitapeli maeneo ya Afrika, lakini kupitia comference hiyo hiyo ndio ikaifanya Tanganyika (Tanzania!) kumiliki mlima Kilimanjaro.
  14. Zanzibar-ASP

    Humphrey Polepole: Tuwe makini na wahuni, wanaweza kuipiga copy serikali

    Yeye na genge lao la Sukuma gang walipiga copy serikali iliyopita na kula keki mpaka kujisaidia ovyo bahati mbaya copy yao ika expire, wahuni wa Msoga wakafuata, wakajaribu na kufanikiwa kupiga copy yao mpya na wanakula keki mpaka kuvimbiwa. Pole Pole anaumia tu, atulie tu kwa sasa wahuni...
  15. Zanzibar-ASP

    Jokate Mwegelo apewa tuzo ya ubalozi wa Afya ya Akili

    Mgonjwa sugu wa afya ya akili amepewa tuzo ya kuwa balozi wa Afya ya Akili au sababu ni tofauti na hiyo?
Back
Top Bottom