I can feel what you are going through, mimi mmoja wao, sasa Nishachagua kujipa furaha mwenyewe, Wanaume huruma huwa zinatuponza sana, anyway,
"maisha yenyewe mafupi haya"
If your wife can't change, change a wife"
Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
Asee, me nakuunga mkono, sina tofauti na wewe, nilishaona kwa style hii hakuna balance, kama kila jambo lazima nianze mimi, manake ni utumwa wa ndoa, thanks God sikufunga ndoa, sasa nimeamua hivi:
1.nasubiri wanangu waongezeke umri
2.Ama nitaoa tena BAADAE, au sitaoa kabisa
NB:Najua madhara ya...
Uzuri "BM" alishawambia, Chuo cha mpira kiko wapi, nadhani bado una maumivu, Aliyekua kupoteza na kupata ni kawaida tu, siyo kujiaminisha timu ni nzuri kumbe ni fluke tu.
Hakuna cha ajabu hapo, kama wao wamekaa misimu minne Bila ubingwa, yaani mtoto anaanza kidato cha kwanza mpaka cha nne timu haijanusa ubingwa, lazima wagawe bahasha ili wachukue, tunajua mbinu zao wanasiasa, lazima timu moja idhoofishwe ili moja iwe juu, "wao ndo wanashindana na Hawa na wala si...
Msimalize maneno, "Hizi timu Zina Homa Za vipindi" kama mnavyojua wawekezeji wa mpira Bongo siyo wa kuaminika.
In loosers group voice...
Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
Ningekuwa na hela mimi wangejuta, hata wajilengeshe sitongozi, nadhani ndo maana Sir God alininyima minotii....
Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.