Linaitwa jeshi la uokoaji na zima moto,lina vikosi pia kama kikosi cha zima moto,kikosi cha uokoaji majanga asilia,kikosi cha uokoaji majini,tatizo hakuna usanifu kazi katika vikosi vyote,pia kuna uhaba wa watumishi kwa 60%,na hawana vifaa vya kisasa.
Mwanangu wewe pambania vyako, mimi nilizaliwa peke yangu kwa baba yangu na alifariki ni kiwa na mwaka 1 tu,.
Mzee alikuwa mfanyabiashara Malawi, Tz,na huko inasemekana alikuwa na vijimali ila alikuwa kivyake vyake Sana,.
Alienda malawi, akarudi Home mgonjwa haongei...
UTANGULIZI.
Majanga ya moto ni miongoni mwa majanga ambayo hayatabiriki na huleta athari kubwa sana katika jamii kama vile watu kupoteza maisha na mali,kwa Tanzania majanga mengi ya moto yamekuwa yakileta maafa makubwa kipindi yanapotokea hii nikutokana na sababu mbalimbali ikiwepo ukosefu wa...
TRA sijui niseme wamekosa ubunifu ktk kutoa huduma zao au wapowapo tu kutumia nguvu ktk kutimiza majukumu yao?
Ili uweze kupata nambari ya mlipa kodi TIN nilazima uwe na na kitambulisho cha NIDA,ambao nao wapowapo tu kama msumari nilazima wagongwe ndio waendee,mtu akienda kuomba TIN na hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.