Mimi kuna siku nilimuuliza mke wangu "Unataka niache kazi nikae tu hapa nyumbani ili kila mda unione?" Manake ilikua ni kero kila saa unaulizwa uko wapi? Unarudi saa ngapi? Ukisema niko kazini unaambiwa rudi nyumbani hujui una familia? 🙄
Hizi ndoa bila kua bandidu mda mwingine utateseka bure.
Yes. Unajua kuna vitu hua tunafanya bila kuzingatia madhara yake ya kisaikolojia baadae. Unaweza ukawa una lengo la kupunguza ukatili, ukajikuta unamuathiri mtu kisaikolojia akashindwa hata kusimamisha akiiona hiyo papuchi. Sasa hapo sijui unakua umefanya nini..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.