Recent content by MKATA KIU

  1. MKATA KIU

    Je, Anthony Edwards ndio Next NBA Legend?

    game 5 mavs vs wolves kyrie irving alimaliza kwa kufunga 36 points . kufikisha 36 points kwenye mechi ambayo haijaenda hata overtime, ndio kushikwa? wolves hakuna mchezaji hata mmoja aliyefikisha 36 points. ila kyrie alifikisha kwenye game 5
  2. MKATA KIU

    Je, Anthony Edwards ndio Next NBA Legend?

    Ameongelea bad day ya kyrie irving kama ya leo haitaweza kutokea kila siku. Its impossible kwa kyrie irving kufunga point chache kama point 16 kama alizofunga leo kwenye mechi zote 4 mfulizo. Lazima kuna mechi atawaka kama kawaida yake Na hiyo ndio itaclose series. Maana mechi moja tu mavs...
  3. MKATA KIU

    Mwanamke: Mtafute mumeo, usikae tu

    njoo dm. tunaosaka wake tupo
  4. MKATA KIU

    "University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them

    Non muslims ni watu poa sana. Haya tuwekee ya wakristo wakiwa wanasali kwenye nchi za kiislamu halafu waislamu wanawalinda wasali salama ibada yao ya kikristo.
  5. MKATA KIU

    LIVE Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

    Siku ya jana Kanisa la wasabato mafia limebomolewa na kimbunga cha hidaya Siku ya jana pia mvua zimebomoa msikiti saudi arabia Binafsi najiuliza Mungu mwenye nguvu mbona hazilindi nyumba zake za ibada. Maana ninaamini yeye ni Muweza wa yote na mjuzi wa yote hata mvua na vimbunga...
  6. MKATA KIU

    Mamelodi ni Overrated, sijui ukubwa waliupataje

    Ukanda wetu sisi weusi Tp mazembe Na enyimba wamemuacha mbali sana mamelodi kwa mafanikio
  7. MKATA KIU

    Mamelodi ni Overrated, sijui ukubwa waliupataje

    Hivi sifa ya timu bora ni kumfunga Al ahly tu ? Mbona makombe ya ligi ya mabingwa africa mamelodi huwa habebi ? Timu zinazoshiriki ligi ya mabingwa kila msimu ni zaidi ya 50. Why timu isifiwe kwamba ni bora kwa mfano huo huo kuifunga timu moja tu Al ahly
  8. MKATA KIU

    Mamelodi ni Overrated, sijui ukubwa waliupataje

    Mimi sijadanganya. Official Website ya Mamelodi sundowns inasema timu yao imeanzishwa miaka ya mwanzoni ya 1960s. Mimi sijadanganya. Wewe ndio muongo unaesema mamelodi imeanzishwa mwaka 1996
  9. MKATA KIU

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Nafanya kazi za clearence na mmojawapo wa mteja wetu ni mkinga anaeingiza jezi. Najua game inavyoenda
Back
Top Bottom