Recent content by Mhafidhina07

  1. Mhafidhina07

    Hawa ni watanzania 10 chini ya umri wa miaka 50 walioleta mabadiliko chanya kwenye jamii kupitia vipaji na vipawa vyao walivyojaliwa

    kwani unapima kupitia jinsia au nafasi/hadhi yake? mkapa aliipokea nchi kutoka kwa mwinyi kukiwa na wasomi wachache,viwanda vingi vimetelekezwa,na barabara mbovu.n.k
  2. Mhafidhina07

    Hawa ni watanzania 10 chini ya umri wa miaka 50 walioleta mabadiliko chanya kwenye jamii kupitia vipaji na vipawa vyao walivyojaliwa

    namba 1,4 na 10 hapana, diamond aingie anamuwakilisha kanumba kwenye tasnia ya burudani,mapinduzi ya media kafanya bakhresa group huyo mwengine hayupo,politics ya ubepari /uwekezaji ni mkapa huyo kikwete na samia wote waomba misaada nje.
  3. Mhafidhina07

    PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

    Jaribu kuoshea maji ya chumvi.
  4. Mhafidhina07

    Watumishi wengi wa umma ni wezi, vilaza, na wavivu waliojaa viburi

    wanakopi maandishi na kuyaweka kichwani,tabia zao zinabadilishwa kuwa upepo wanaanza kufikiria kupitia matako.
  5. Mhafidhina07

    CHADEMA mbinu ya maandamano haikuwa njia sahihi ya kukirudisha chama katika macho ya Watanzania

    Tunafahamu kuwa miaka 3 nyuma vyama vya upinzani havikupewa jukwaa stahiki la kuendeleza biashara/kazi na majukumu yao ili kuongeza tija na hamasa ya kupendwa zaidi,na kuvutia wanachama ilikuwa ni inactive political parties,havikuweza kuwa na uwakilishi wa kutosha katika bunge na hata katika...
  6. Mhafidhina07

    Mwalimu wa Madrasa alawiti watoto 15 Mafia

    kulawitiana ni suala sensitivity mno na kuna sababu nyingi za kiuchumi,kijamii na hata kisiasa zinaathiri mwenendo wa tabia za watu. tujitahidi kuwa na misimamo na wazazi wawafatilie watoto wao.
  7. Mhafidhina07

    Antony Mtaka: Hawa Ma DC Wanafanya Ziara za Kutatua Kero za Wananchi Kijiji Kwa Kijiji, Hawana TV tuu

    Kwahiyo mh Rais naye angekuwa anatatua kero bila tv ingekuwaje? kufanya mikutano ya hadhara kwanza. kuibrand CCM na RC Mwenyewe. Kuweka au kuonyesha uwajibikaji na uwazi. Kuonesha kero na kuwapa matumaini wananchi Ni namna nzuri ya kutumia rasilimali na teknolojia(hao wengine rushwa...
  8. Mhafidhina07

    Msaada: Naomba njia sahihi ya kukataa uteuzi wa rais bila kumkasirisha Rais

    kwa muandiko huo naona kichekesho hiki
  9. Mhafidhina07

    Kongole Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule

    mie nampongeza RC wa chuga
  10. Mhafidhina07

    CHADEMA wavurugana kanda ya Victoria, John Pambalu asusa

    CHADEMA hii ndiyo inajiandaa kuongoza dola?
  11. Mhafidhina07

    Uwekezaji gani una almost Zero management?

    yah everything is about management
Back
Top Bottom