Recent content by Embezzler

  1. E

    Mjumbe hauawi. Mwanamke huwa msafi kabla ya kuolewa, akiolewa mambo hubadilika

    Mbona sioni comment za wanawake wanaojielewa?
  2. E

    Askofu Dkt. Shoo awaomba msamaha Waumini wa KKKT na Watanzania Wote

    Nadhani ni kuruhusu katiba ya KKKT kuvunjwa pale alipiruhusu mtu aliyekua mkuu wa kanisa kwa miaka nane kurudi kwenye uongozi Tena. Nijuavyo (correct me if I am wrong) mtu anaruhusiwa kuwa kiongozi mkuu wa KKKT kwa maximum ya miaka nane. Sasa Malasusa hiki Ni kipindi Cha tatu Cha miaka minne...
  3. E

    Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

    Akiolewa na muislamu atafundishwa uchawi wa majini. Kwaivo mtakua na ndugu mchawi. Ila Kama kakubali kwenda uchawini kwa Abduli (nadhani sio yule Abdul) mwacheni akayaone mwenyewe.
  4. E

    Mchungaji Msigwa wa CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari leo saa 5:00 asubuhi

    TLP Ni CCM (c) tangu enzi za Mrema. Kama anahisi bado anamvuto angekwenda CCM (b) kabisa ACT .
  5. E

    Hivi kweli kuna cha kujifunza kutokana na uchaguzi wa Afrika Kusini kama taifa?

    We acha tu CCM waendelee kuiba na kusinzia. Watakuja kukumbuka shuka kumekucha. Bashir alitamba kabisa kwamba hawawezi kuachia Dola. Kufumba na kufumbua Dola imeshikwa na wengine.
  6. E

    Duniani Kote Marais Waislamu hupenda kuwarithisha Urais Watoto wao yaani hupendelea Utawala wa Kifamilia!

    Kuna mmoja alikua mkurugenzi wa halmashauri kipindi Cha Magu.
  7. E

    Duniani Kote Marais Waislamu hupenda kuwarithisha Urais Watoto wao yaani hupendelea Utawala wa Kifamilia!

    Nyerere na Mkapa ndio Marais ambao hawakujitia doa la kuweka wenzi wao au watoto wao kwenye serikali. Duh baada ya hapo, kila mtoto wa mkubwa, awe wa kusingiziwa au wakufikia anataka naye awe mtawala, mheshimiwa, kiongozi, mkuu, mbunge, waziri, mkurugenzi. Sasa Basi wawe na maadili, maadili...
  8. E

    Hivi kweli kuna cha kujifunza kutokana na uchaguzi wa Afrika Kusini kama taifa?

    ANC yaani CCM ya Africa kusini umeshindwa kupata kura zinazoweza kukifanya kuunda serikali. Inabidi waungane na Chadema ya kule kuunda serikali.
  9. E

    Kwanini wa Oman wapewe Airport ya KIA na sio Zanzibar?!!

    Tanzania tuko milioni sitini na nne huko lakini hakuna watu wenye akili, kila kitu tunalipa tàifa lenye watu milioni mbili. Hivi Dubai Wana vyuo vikuu vingapi? Wana maprofesa wangapi? Wana mitaji ya sh ngapi ambayo Tanzania hatuna? Tukiuza kila kitu wajukuu zetu watarithi Nini kwenye nchi Yao...
  10. E

    Rafiki yangu anasumbuliwa na vipele hivi. Vilianzia mapajani vimefika mpaka kwenye uume

    Kumbe Ni wewe mwenyewe! Kwanza kabisa elewa kwamba wewe Ni mchafu. Mivuzi yote hiyo mpaka kwenye tigo huoni kwamba ndio chanzo. Mivuzi hiyo ukiingia gesti za Mbagala zile za buku 5 choo mumo kwa mumo utaacha kuchukua mbegu za maradhi? Huna personal hygiene kijana. Nyoa mavuzi halafu lete mrejesho.
  11. E

    Rafiki yangu anasumbuliwa na vipele hivi. Vilianzia mapajani vimefika mpaka kwenye uume

    Wengi wanadhani kondom Ni Kinga tosha. Ukweli Ni kwamba sio kweli. Malaya wengi Wana magonjwa ya ngozi hasa katikati ya mapaja na makalioni. Sasa wewe unapomla kwa style ya chuma mboga kwenye chocho au kwa Babu ujue unaondoka na ukurutu na upele usiotibika. Lakini magodoro na shuka kwenye gesti...
  12. E

    Huyu mpenzi Hamna anachonipa jamani!!!!....

    Huyo jamaa nahisi atakua Dullah . Sifa zote hizo Ni za Dullah.
  13. E

    Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

    Sijawahi kuona msabato, mpare, msomi akitafuta mume.
  14. E

    Rais Ruto na makamu wake washaanza kutofautiana!

    Mtu akikuita muhuni pigana kwa nguvu zote. Wahuni hawawezi kuelewana baada ya kufanya uhuni.
Back
Top Bottom