Moja ya hotuba zake maarufu iliyoandikwa kwanza katika makala mwaka 1963 halafu ikajumlishwa katika kitabu chake kiitwacho 'Uhuru na Umoja' ilikuwa barua kali aliyowaandikia wenzake kuwaomba wamsaidie "Kufuta maradhi ya ukubwa" Nyerere aliandika hivi katika mwaka huo wa 1963. ". . . Na vivyo...
Kama wanashindwa kuamua mambo yao tena yanayowahusu wao hadi waamuliwe na wengine, hata wakipewa madaraka bado hawataweza kujiamulia wataenda kuuliza tena tufanyeje?
Upendo ambao hauna msingi bora ila kuridhisha tu tamaa za mwili utakuwa mgumu usiosikia shauri la mtu, kipofu na usiozuilika. Heshima, kweli na kila uwezo bora wenye kuinua hali ya moyo huwekwa chini ya utumwa wa tamaa mbaya. Mtu ambaye amefungwa katika minyororo ya namna hii huku akipotewa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.