Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Hello folks just looking for a someone from uganda who is Living or Working here in Dar es salam Dm me for more details
0 Reactions
1 Replies
104 Views
Uzee dawa, Uzee hekima. Maneno ya Rais Museven kwenye mkutani wa viongozi wakuu barani Afrika kuhusu maendeleo. Msikilize mwenyewe kwenye hiyo video hapo chini. Bigup sana Museven.
3 Reactions
26 Replies
743 Views
Makerere University has launched a digital system that will enable it effectively monitor attendance of staff and students in order to limit the vice of dodging classes. The two systems the...
2 Reactions
3 Replies
276 Views
Kwa habari Kamili tafadhali litafuteni Gazeti la The Monitor la Uganda ili mjisomee Wenyewe ila Mimi baada tu ya Kuisoma hiyo taarifa na Kunishtua sasa nafanya utaratibu Maalum wa kwenda Gym za...
6 Reactions
41 Replies
806 Views
UGANDA: Serikali imetenga Dola za Marekani Milioni 800 (zaidi ya Tsh. Trilioni 2) kwaajili ya kutangaza na kufundisha Lugha ya Kiswahili nchini humo kwa lengo la kukuza ushirikiano wa Kikanda...
4 Reactions
14 Replies
969 Views
Ugandan President Yoweri Museveni revealed that he had lifted a ban on a minerals export ban that had been in place since 2012 following an agreement with his Kenyan counterpart William Ruto...
0 Reactions
12 Replies
318 Views
Uganda, nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta katika eneo la Albertine Rift Basin, inaendelea kujifunza na kuboresha uelewa wake wa jiolojia ya eneo hilo wakati wa mchakato wa uchimbaji wa mafuta...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Pte Abraham Engwedu (kushoto) and Pte Stephen Jarili (kulia). Askari mwenye umri wa miaka 44 amehukumiwa miaka 35 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuikimbia Jeshi la Ulinzi la Watu wa Uganda...
0 Reactions
3 Replies
399 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Kampala kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Kampala. Ninaomba tuangalie katika positive...
0 Reactions
4 Replies
333 Views
Hii ndio Safari aliyoipita Jenerali MUHOOZI KAINERUGABA Mtoto wa Rais wa Uganda Yowery Kaguta Museven hadi kuwa Mkuu wa Majeshi wa Nchi Hiyo 2000: Aliteuliwa kuwa Luteni wa pili, Kitengo cha...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
Security operatives evacuate an injured man, only identified as Robert Oyot, after he was attacked by a mob for allegedly stabbing his lover at Mini Price shopping centre, downtown Kampala on...
0 Reactions
18 Replies
551 Views
Rais wa Afrika Kusini anaanza ziara ya siku mbili nchini Uganda leo, miezi baada ya nchi yake kutuma wanajeshi chini ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kupambana na waasi wa M23...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Waganda mna bahati sana. Mtachekwa sana ila nyinyi ni afueni kuliko sisi majirani zenu. Huyo dictator anaisaidia sana nchi yenu. Tz sisi ndio watu hovyo zaidi east africa. Viongozi wetu wanauza...
4 Reactions
4 Replies
398 Views
Mahakama ya katiba nchini Uganda imetupilia mbali shauri lililowasilishwa Mahakamani kupinga sheria dhidi ya mapenzi kati ya Watu wa jinsia moja na kusisitiza kuwa sheria hiyo inalinda utamaduni...
1 Reactions
5 Replies
269 Views
" My majesty Mr. Queen Sir, horrible ministers and members of parliament, invented Guests, ladies under gentlemen. I hereby thank you completely… Mr. Queen, sir; and also what he has done for me...
2 Reactions
5 Replies
585 Views
Hii yote kisa dini, watu wana imani za kiajabu sana................ A Ugandan national and two foreign tourists were killed in an attack by suspected Islamist rebels from the Allied Democratic...
1 Reactions
47 Replies
2K Views
Magaidi ya ADF ambayo ni mlengo wa magaidi ya Islamic State (dola la kiislamu) wamechinja bibi na wajukuu zake na kuchoma maiti zao kijijini Uganda. Hivi mbona dini isiwe chanzo cha amani...
1 Reactions
8 Replies
809 Views
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amemteua Mtoto wake Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu mpya wa Majeshi (CDF) Nchini Uganda akichukua nafasi ya Jenerali Wilson Mbasu Mbadi ambaye ameteuliwa...
4 Reactions
117 Replies
5K Views
Umoja wa Mataifa (UN) umetangaza kuwa Uganda imekidhi vigezo vya kuorodheshwa kama nchi ya kipato cha kati cha chini (lower-middle income) baada ya kuboresha kwa kiasi kikubwa afya, elimu na...
1 Reactions
4 Replies
776 Views
UGANDA: Chuo Kikuu cha Makerere kimesema takriban Wanafunzi 1,000 wanaacha au kuachishwa Masomo kila mwaka kutokana na kupoteza Fedha za Ada wanazozitumia kwenye Michezo ya Kubashiri maarufu kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom