Nimevutiwa na uwezo wa Mungu wa Wayahudi hivyo naomba mwongozo nijiunge na Imani yao

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,375
4,993
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Tafadhalini sana mnisaidie utaratibu sahihi wa kujiunga na dini ya mayahudi yaani Judaism

Nimevutiwa sana na dini hiyo siyo tu kwa uwezo mkubwa wa Mungu wanayemuamini bali pia jinsi anavyowaweka pamoja kama kondoo wa zizi moja na kuwalinda kikamilifu dhidi ya maadui zao huku akiwapatia nguvu kubwa za kiuchumi, kielimu na kiutawala.

Natamani niwe sehemu ya kundi hilo la wateule hivyo niombe mnielekeze mchakato husika.

Aksanteni sana na Mbarikiwe
 
1716221421581.png
 
Mzee wa like hadi umeamua useme , balaa sana
Mambo ya ovyo sana mkuu , mauaji na dhulma, ugomvi na kutokuwa na maelewano mazuri apo mashariki ya kati huko Africa tunayashadadia kwa hzi imani zetu za kukopa bila kujijua hakuna yoyote kati ya hao, hata wanaotuona sisi ngozi nyeusi kama ni binadamu kamili.

Naanza kupata mashaka na hii jamii yetu 🤔
 
Mambo ya ovyo sana mkuu , mauaji na dhulma, ugomvi na kutokuwa na maelewano mazuri apo mashariki ya kati huko Africa tunayashadadia kwa hzi imani zetu za kukopa bila kujijua hakuna yoyote kati ya hao, hata wanaotuona sisi ngozi nyeusi kama ni binadamu kamili.

Naanza kupata mashaka na hii jamii yetu 🤔
Ukisoma comments za watu hadi unajiuliza au wanatania kumbe wanamaanisha, hili ni janga
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Tafadhalini sana mnisaidie utaratibu sahihi wa kujiunga na dini ya mayahudi yaani Judaism

Nimevutiwa sana na dini hiyo siyo tu kwa uwezo mkubwa wa Mungu wanayemuamini bali pia jinsi anavyowaweka pamoja kama kondoo wa zizi moja na kuwalinda kikamilifu dhidi ya maadui zao huku akiwapatia nguvu kubwa za kiuchumi, kielimu na kiutawala.

Natamani niwe sehemu ya kundi hilo la wateule hivyo niombe mnielekeze mchakato husika.

Aksanteni sana na Mbarikiwe
Ni process kubwa sana kuliko hata Kujiunga na Uislamu
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Tafadhalini sana mnisaidie utaratibu sahihi wa kujiunga na dini ya mayahudi yaani Judaism

Nimevutiwa sana na dini hiyo siyo tu kwa uwezo mkubwa wa Mungu wanayemuamini bali pia jinsi anavyowaweka pamoja kama kondoo wa zizi moja na kuwalinda kikamilifu dhidi ya maadui zao huku akiwapatia nguvu kubwa za kiuchumi, kielimu na kiutawala.

Natamani niwe sehemu ya kundi hilo la wateule hivyo niombe mnielekeze mchakato husika.

Aksanteni sana na Mbarikiwe
Mzee bora ujiunge na dini ya amani na Allah atakusaidia
 
Back
Top Bottom