Nashauri JWTZ ijiongezee majukumu kwa ajili ya Resources za nchi

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,407
4,479
Tunatambua mchango wa JWTZ katika Taifa letu, lakini pamoja na yote, bado kwangu wanasiasa wana nguvu sana kufikia hatua ya kuharibu mali asili za nchi kwa ajili ya manufaa binafsi

Mimi nashauri JWTZ ijiongezee majukumu ya ku SCRUTINIZE na kufanya EVALUATION pamoja na CONTROL ya MAAMUZI yanayofanywa na wanasiasa kwenye resources za nchi yetu.

Natamani kuona Jeshi letu ni FULL AUTONOMOUS ili hawa wanasiasa wawekewe CONTROL kubwa sana kwenye MAAMUZI yao, otherwise resources za nchi zitaisha na zitamilikiwa zote na wageni.

Most wanaogawa resources za nchi sidhan kama wanamiaka 40 to 50 mbele ya kuishi based on the life expectancy data ya Africa( data.unicef.org).

Rais na Wanasiasa wote ni chombo cha kutuongoza na kutupa DIRA kupitia MAAMUZI sahihi: kama MAAMUZI yanayofanyika sio sahihi au hayana maslahi mapama kwa taifa, ni lazima JESHI liwe ni sehemu ya kusimamisha mchakato wowote ambao unaonekana hauna maslahi mapana ya nchi.

Tukiwaachia hawa wanasiasa nchi ambao most of them ni academic failures, tujiandae pia kuwaachia generation zetu taifa ambalo hata baada ya miaka 2000 years, halitobadilika.
 
JWTZ imekuwa ikifanya kazi vizuri kulinda mipaka ya nchi na Amani sambamba na kufanya whistle blowing kwenye TEUZI za kikimbizi.

Pamoja na yote haya, bado kwangu wanasiasa wananguvu sana Tanzania kufikia hatua ya kuharibu mali asili za nchi kwa ajili ya manufaa binafsi

Mimi nashauri JWTZ ijiongezee majukumu ya ku SCRUTINIZE na kufanya EVALUATION pamoja na CONTROL ya MAAMUZI yanayofanywa na wanasiasa kwenye resources za nchi yetu.

Natamani kuona Jeshi letu ni FULL AUTONOMOUS ili hawa wanasiasa wawekewe CONTROL kubwa sana kwenye MAAMUZI yao, otherwise resources za nchi zitaisha na zitamilikiwa zote na wageni.

Most wanaogawa resources za nchi sidhan kama wanamiaka 40 to 50 mbele ya kuishi based on the life expectancy data ya Africa( data.unicef.org).

Rais na Wanasiasa wote ni chombo cha kutuongoza na kutupa DIRA kupitia MAAMUZI sahihi: kama MAAMUZI yanayofanyika sio sahihi au hayana maslahi mapama kwa taifa, ni lazima JESHI liwe ni sehemu ya kusimamisha mchakato wowote ambao unaonekana hauna maslahi mapana ya nchi.

Tukiwaachia hawa wanasiasa nchi ambao most of them ni academic failures, tujiandae pia kuwaachia generation zetu taifa ambalo hata baada ya miaka 2000 years, halitobadilika
SEMA NENO MOJA , DO NOT BEAT AROUND THE BUSH!
 
Kulinda mipaka ya nchi tu hakutoshi, kupitia hawahawa wanasiasa wapumbavu watu wanaweza kupalylize mifumo ndani wewe huku unasubiri na bunduki zako mipakani huko.

Strong political system ni kama fence dhidi ya watu wapumbavu na laini wanaoweza kuiweka nchi rehani ili wao wapate hela za pombe, malaya, mansions, good cars, watoto kusoma ulaya nk.

Nchi hii ulipofikia kama ndugu zetu JWTZ NI wazalendo kweli basi wanapaswa kuipindua na kuiweka chini ya mikono yao huku ikifanyika reform ya mifumo kurudi kwa raia wazalendo, wakakamavu na strong kwa Taifa lao, wanaweza hata kukaa nayo in five years otherwise nao ni sehemu ya wajinga.
 
SEMA NENO MOJA , DO NOT BEAT AROUND THE BUSH!

Nisaidie kusema, mawazo yangu ndio hayo na sijawahi kuogopa anything in this life , wala sijawahi kuogopa kiumbe chochote ambacho kina kula na kwenda haja that smells like hell , never….. over my dead body

Nimesema neno moja, JWTZ iongeze wings to control hawa politicians ambao hata education background yao ni ya mchongo
 
Hilo sio jukumu la jeshi la wananchi, hao unao waita wana siasa, wameapishwa kisheria, wakapewa dhamana na watanzania ( according to katiba)

Yaani nyie wenyewe ndio mmewapigia kura. wananchi.
Kuilinda katiba ya nchi na kumtii amiri jeshi (president) ni moja ya jukumu lao la msingi.

hawawez kufanya hayo yote without breaking katiba na sheria zilizopo, and topple the goverment. Unless unataka utawala wa kijeshi

Sijasema natatea wanayo yafanya viongozi wasio waadilifu, binafsi natamani waondoke, lakin ili hilo litokee lazima wananchi wa force reforms else wataendelea kuwanyonya
 
Hilo sio jukumu la jeshi la wananchi, hao unao waita wana siasa, wameapishwa kisheria, wakapewa dhamana na watanzania ( according to katiba)

Yaani nyie wenyewe ndio mmewapigia kura. wananchi.
Kuilinda katiba ya nchi na kumtii amiri jeshi (president) ni moja ya jukumu lao la msingi.

hawawez kufanya hayo yote without breaking katiba na sheria zilizopo, and topple the goverment. Unless unataka utawala wa kijeshi

Sijasema natatea wanayo yafanya viongozi wasio waadilifu, binafsi natamani waondoke, lakin ili hilo litokee lazima wananchi wa force reforms else wataendelea kuwanyonya

Another Academic Failure na huna akili ya ku understand the discussion.
 
Uzuri jeshi lina kitengo cha ujasusi wa kijeshi ambao hauingiliani na taasisi nyingine ya kijasusi.
Nadhani wana taarifa nyingi za namna nchi inavyo pelekwa na wanasiasa.

Kwa akili ya kawaida kabisa hakuna mwanasiasa mwenye na dhamira ya dhati na hatima ya kizazi kinacho kuja, wao wanaangalia maslahi yao ya leo na hii miaka mitano ya kuchaguana.

Bahati mbaya nyingine wale ambao sio wanasiasa akisimama sehemu baada ya salamu ni sifa wa rais! Sio upande wa bunge mahakama, jeshi na wengieneo wote!
Kwa ujumla wake jeshi nalo kwa kiasi halikosi kuwa kisisa kwa namna tunavyo ona leo
 
Uzuri jeshi lina kitengo cha ujasusi wa kijeshi ambao hauingiliani na taasisi nyingine ya kijasusi.
Nadhani wana taarifa nyingi za namna nchi inavyo pelekwa na wanasiasa.

Kwa akili ya kawaida kabisa hakuna mwanasiasa mwenye na dhamira ya dhati na hatima ya kizazi kinacho kuja, wao wanaangalia maslahi yao ya leo na hii miaka mitano ya kuchaguana.

Bahati mbaya nyingine wale ambao sio wanasiasa akisimama sehemu baada ya salamu ni sifa wa rais! Sio upande wa bunge mahakama, jeshi na wengieneo wote!
Kwa ujumla wake jeshi nalo kwa kiasi halikosi kuwa kisisa kwa namna tunavyo ona leo

Nadhan mfumo wa kumpata Mkuu wa Majeshi ni lazima uwe reviewed

Haiwezekan mtu mmoja apewe mamlaka ya kuteua wakuu wote wa vitengo muhimu

Kuna baadhi ya Vitengo muhimu TZ vinatakiwa kuwa full autonomy ili kuondoa bias na kuweka neutrality
 
Nadhan mfumo wa kumpata Mkuu wa Majeshi ni lazima uwe reviewed

Haiwezekan mtu mmoja apewe mamlaka ya kuteua wakuu wote wa vitengo muhimu

Kuna baadhi ya Vitengo muhimu TZ vinatakiwa kuwa full autonomy ili kuondoa bias na kuweka neutrality
Mfumo uliopo anapatikanaje? Mchakato ukoje? Wapi una weakness ? Na wapi una strength?
 
Tuna wageni wa nchi jirani wapo kwenye nyadhifa zenye mamlaka ya kufanya maamuzi kwa faida ya nchi zao za asili..Watu wa mataifa ya jirani wamekuwa madalali wa mali zilizoko Tanzania..Inasikitisha sana..

Kiu ya wageni ni kushika hatamu ya nchi kwa faida yao binafsi na mataifa yao ya asili..yapo na yatakuwapo maamuzi makubwa yenye kuigharimu nchi si kwa faida ya Watanzania bali faida za kimkakati za mataifa yaliopandikiza watu wao ktk mifumo yetu ya maamuzi na utawala.

Uzalendo uliotukuka unahitajika mnoo nyakati hizi kuliko zozote..
 
Nadhan mfumo wa kumpata Mkuu wa Majeshi ni lazima uwe reviewed

Haiwezekan mtu mmoja apewe mamlaka ya kuteua wakuu wote wa vitengo muhimu

Kuna baadhi ya Vitengo muhimu TZ vinatakiwa kuwa full autonomy ili kuondoa bias na kuweka neutrality
Kuna vyeo vyapaswa kuwa vya kikatiba na mchakato wake kuwa wa kikatiba
 
who is the failure here? Wewe unaewek feelings and personal attack ka mada simple kama hii? Come on man

Personal attack!!!!!!!!!!!!! Wapi kuna personal attack ?

. Kujadiliana na Academic failure lazima mu end up kwenye misunderstanding………nimekupa privilège ya kukujibu bado unazungumza mambo ya personal attack

ninakuweka kwenye ignore list maana you are going to distract the understanding
 
Personal attack!!!!!!!!!!!!! Wapi kuna personal attack ?

. Kujadiliana na Academic failure lazima mu end up kwenye misunderstanding………nimekupa privilège ya kukujibu bado unazungumza mambo ya personal attack

ninakuweka kwenye ignore list maana you are going to distract the understanding
personal attack again 😂😂, pale unapo lazimisha jambo kwa mtu ambae humjui hujui only id tu. Halaf unajiona special, bullshit son
 
JWTZ imekuwa ikifanya kazi vizuri kulinda mipaka ya nchi na Amani sambamba na kufanya whistle blowing kwenye TEUZI za kikimbizi.

Pamoja na yote haya, bado kwangu wanasiasa wananguvu sana Tanzania kufikia hatua ya kuharibu mali asili za nchi kwa ajili ya manufaa binafsi

Mimi nashauri JWTZ ijiongezee majukumu ya ku SCRUTINIZE na kufanya EVALUATION pamoja na CONTROL ya MAAMUZI yanayofanywa na wanasiasa kwenye resources za nchi yetu.

Natamani kuona Jeshi letu ni FULL AUTONOMOUS ili hawa wanasiasa wawekewe CONTROL kubwa sana kwenye MAAMUZI yao, otherwise resources za nchi zitaisha na zitamilikiwa zote na wageni.

Most wanaogawa resources za nchi sidhan kama wanamiaka 40 to 50 mbele ya kuishi based on the life expectancy data ya Africa( data.unicef.org).

Rais na Wanasiasa wote ni chombo cha kutuongoza na kutupa DIRA kupitia MAAMUZI sahihi: kama MAAMUZI yanayofanyika sio sahihi au hayana maslahi mapama kwa taifa, ni lazima JESHI liwe ni sehemu ya kusimamisha mchakato wowote ambao unaonekana hauna maslahi mapana ya nchi.

Tukiwaachia hawa wanasiasa nchi ambao most of them ni academic failures, tujiandae pia kuwaachia generation zetu taifa ambalo hata baada ya miaka 2000 years, halitobadilika
"Wanalinda mipaka Ili majizi yaliyopo ndani yaibe vizuri""!!so ndio unamaanisha hivyo au nimeelewa kivingine!!?

Wanatukosea sana!!
 
Back
Top Bottom