Search results

  1. I

    Don't cook if you can not eat

    Kuna ile tabia inapenya sana makazini especially zinapokutana gender mbili tofauti (me & ke). inatokea pale hao co-workers wanajaribu kuwa karibu zaidi kiurafiki hili kurahisisha utendaji wa kazi (may be) ila sasa inavuka mipaka. kunakuwaga na ile hali ya kutaniani kwa kushikana shikana au stori...
  2. I

    Nimepata mwanamke anayependa kufanya ngono kila wakati mpaka kero

    Kama unaipiga kwa io time na hachoki wala akichukua break haikandi na hot water. Bro unatuangusha 😆😆 itakuwa tako 3 wazungu haooo kudadeki
  3. I

    Kuwa wapenzi wa muda mrefu na hadi kufunga ndoa ni kitu kinavutia sana

    Nakumbuka mwaka jana nilihudhuria harusi ya rafiki wangu (wa kike),asee was very impressed kwa kweli. Si unajua pale tena harusi za siku hizi wale maharusi wanachukua time ya kuelezea familia zao na kujuana ndugu wa pande zote. Basi kwenye maelezo yule jamaa akasema alikutana na huyu manzi...
  4. I

    Ushauri wenye tija

    KABISA KUNA MZEE ALITOBOA JIONI KABISA..ILA INAPOTOKEA NAFASI KWENYE MUDA UPO NA ENERGY ITS BETTER KUKAZANIA HAPO
  5. I

    Nyimbo za Simba ni kali kuliko za Yanga, shida iko wapi?

    Mimi ni die fan wa Young African, timu yenye soka safi East Africa 😃 na mabingwa wa makombe Tanzania Bara kama hautaki meza godoro, lakini pia napenda sana music na nina-sikio zuri sana kwenye kusikiliza nyimbo na kuzielewa pia. Nowdays wasanii wengi wamekuwa wakiimbia hizi timu pendwa bongo...
  6. I

    Ushauri wenye tija

    Ukipata bahati ya nafasi ya kufanya kazi au biashara katika umri mdogo (kuaznia 18 hadi 27)usidharau kazania sana kujua io kazi zaidi katika umri huo. Kuna utofauti wa mtu aliyeanza kazi kwenye age io na yule aliyeanza above io age. ndo mana baadhi ya wenye mali huanza kuwalithisha mipango na...
  7. I

    Ujasiri wa kulala kwa wanawake mnaupata wapi wenzangu?

    Inawezekana ila noma mara nyingi ni kwa hao wanawake. yes unakuta chumba ni mwananmke amepanga ila kodi na vitu vingine mwanaume anakuwa anazingatia 100%. inshu bwana mkizinguana hapo kudadeki..hao mademu wanakuwaga na maneno ya hovyo sana yan
  8. I

    Kuna vitu vinakwaza ila ndio uhalisia wenyewe

    10 yrs kazini na bado nimetulia,usichulie kwenye negative nimejaribu ku-share hii scenario ni watu wengi inawakuta na inawakata pia
  9. I

    Kuna vitu vinakwaza ila ndio uhalisia wenyewe

    nje ya hii platform hamna sehemu namuongelea na tunamiaka 10 kazini pamoja kama familia tu.. nimejaribu kushare ile experience tunazopia katika utafutaji ndo mana ninakubali mchango wake kwangu.
  10. I

    Kuna vitu vinakwaza ila ndio uhalisia wenyewe

    hawezi kuwa perfect kwangu kwa 100% ilo lipo wazi na pia ye sio mungu kusema yupo sahihi kwenye kila kitu...nimejaribu kushare jambo ambalo wengi wanalipitia. kama utachukulia negative ni wewe na kama ni positive ni wewe pia ila sio sawa kujivisha umungu mtu kisa umemsaidia mtu
  11. I

    Kuna vitu vinakwaza ila ndio uhalisia wenyewe

    ni sawa pia mana kila mtu ni tatizo as long as unaishi hata na wewe ni tatizo vile vile..
  12. I

    Kuna vitu vinakwaza ila ndio uhalisia wenyewe

    sijakataa mkuu hata ukisoma heading yangu mbona ipo wazi lakini hahah
  13. I

    Kuna vitu vinakwaza ila ndio uhalisia wenyewe

    na hata tunaosaidiwa inafikia hatua tunajuta kupokea misaada yenu pia...
Back
Top Bottom