Aisee nimeshangaa sana baada ya jamaa zangu wa karibu wakilalama wapenzi wao ifikapo tu tarehe 21 ya mwezi huanza kulalama nywele zao zimefumka na kuchakaa na luku kwao imekata ghafla nikajiuliza kulikoni?
Wajuvi wa mambo hebu tuelezeni siri iliyojificha kwenye nywele za wanawake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.