Search results

  1. M

    Dr. Dorothy Gwajima amepatwa na nini tena? Kweli Uchawi upo

    Ni kama amelewa, wabunge waanze kupimwa kilevi kabla ya kuingia kwenye vikao
  2. M

    RC Chalamila kumtaja Rais wananchi wanazomea ni dalili ya nini?

    Dalili ya uongozi mbovu na legelege wa rais
  3. M

    Mkuu wa wilaya Kigamboni asema wanajeshi wanapiga na kuua wananchi

    Miaka flani nilikua na shamba hapo Kijaka kimbiji hao jamaa walikuja kuvunja kinyumba changu wakaondoka na vitu vyangu vya shambani tulipelekana mpaka kwa mkuu wa wilaya maana badamu bangemwagika Ila hawakuacha chokochoko ikabidi nihame tu.
  4. M

    MKUU WA WILAYA YA HANDENI, ALBART MSANDO AGAWA MITUNGI 300 YA TAIFA GAS KWA WANANCHI WAKE HANDENI

    Sasa hao maafisa tarafa na wengineo wenye uwezo wamepewa mitungi ya nini, hao wana uwezo wa kununua au tayari wanayo majumbani mwao
  5. M

    Depression inaniua

    Tafuta mganga ama shehe mumtupie majin huyo mwizi
  6. M

    MOI kuanza kutoa huduma za upasuaji Ubongo na Mishipa ya fahamu kwa kutumia Roboti

    Pesa ya uchaguzi inakusanywa, huitaji hata shilingi mia kujua madhara ya energy drink, kuhusu nguvu za kiume hilo tatizo pia halipo
  7. M

    Matatizo ya kukatika Internet nchi nzima alaumiwe Waziri Nape kwa kuikataa StarLink

    Labda kuna siku tutapata viongozi wenye akili wataruhusu ila kwa sasa haya mazee yanachowaza ni kupora uchaguzi tu na kuwafanya watanzania kua wajinga na machawa ili yaendelee kutawala
  8. M

    Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania

    Halotel pia walijitahid walau kwangu nilikua nawapata japo kwa speed ya kobe sana
  9. M

    Wamarekani wanamuhitaji Donald Trump sasa kuliko walivyomuhitaji mwaka 2016

    Nimeona mahali anazungumza na ma tycoon wa biashara ya mafuta anawaomba wamchangie dola billion moja arudi white house Ma Don hao wanalalamika kwa mwaka jana tu walitumia dola million 400 kufanya lobbing kwenye serikali ya Biden ili kupunguza vikwazo vya ki mazingira Bila shaka Trump atarudi...
  10. M

    Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania

    Wazee wa online business jana tumekula za uso sana
  11. M

    Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

    Daaah nimecheka kifala sana, bi mkubwa kachafukwa
  12. M

    Ni sahihi kumkaribisha Muislamu nyama ambayo haikuchinjwa kidini?

    Machinjio yote ya kisasa wanyama hukatwa kichwa na mashine na waislamu wanakula vizuri tu
  13. M

    Nguruwe ni mojawapo kati ya wanyama HAYAWANI?

    Sitaacha kula mbuzi katoliki
  14. M

    Wahaya wana Akili sana kiukweli

    IQ kubwa zimeshindwa kuondoa umasikini kanda ya ziwa
Back
Top Bottom