Search results

  1. La Quica

    Happy Birthday Mahondaw

    Mrembo? Duh asee
  2. La Quica

    Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

    Wakuu kwema? Nafurahishwa sana na utendaji kazi wa huyu mkuu wangu wa mkoa. Kwakweli mama anaupiga mwingi. Nilikuwa naomba mwenye CV yake atuwekee ili tujue na kama itawezekana na watoto wetu wafuate nanyo zake. Asalaam.
  3. La Quica

    Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya

    Men make women single moms and still they troll them single mothers anyhow
  4. La Quica

    Mambo Matatu yatakayokuacha kinywa wazi nchini Tanzania

    4. Rais anawaambia watendaji wake "kuleni lakini msivimbiwe". Ndio nchi ya kwanza duniani kusikika rais wa hivyo.
  5. La Quica

    Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

    Yupo Ulaya huyo dada ndio maana ameandika hivyo.
  6. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Ila alichonifanyia sio sawa kwakua nilikua mbali
  7. La Quica

    Wanawake, ukimpenda mwanaume halafu yeye hakutongozi huwa mnafanyaje?

    Mbona Mbona unanipenda na hujawahi nitongoza
  8. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Mwambie
  9. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Somaga uelewe wewe mbusii usiwe kamama Maghayo
  10. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Hiki so kihuni ni kiswahili chetu. Embrace the difference nigga
  11. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Inaeza kua hivyo ila mimi nishamtofembea mke wake arif
  12. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Asa wewe ni dingoo (babu) na bado unataka jiona kijana dingi yangu si udoro tu asee
  13. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Unae akili wewe? Mbona umebofonga shit lembe lembe tu
  14. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    https://youtu.be/a2n_1ltPI-c?si=AGtw33EkmMWz1rMW Mad Max nyie mmeanza kusikia wadudu mwezi jana ila sisi tunawajua wadudu sio hao mamluki
  15. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Ulikueko kwenye graduu yangu? Hivi unajua hata madrassa inaitwa chuo? Wakatoliki enyewe mna kitabu cha page 10 kinaitwa chuo cha sala. Acha uwaki
  16. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Sio kwamba namtaka ila ikitokea chance siezi acha
  17. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Acha ukuda nimeeka kiswahili kwenye mabano jombaa
  18. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Mi siezi pogana paru na huyo waki. Kwanza hata njaro zake naziona za kigasho tu mtu hatupii hata shada wala gambe.
  19. La Quica

    Huyu mjamaa simwelewi

    Acha uwaki
Back
Top Bottom