Search results

  1. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Uhalisia unaonekana mkuu. Tembelea shule uone, hapa Dar kwenyewe hadi kununua chaki na vifaa vingine ni changamoto sana. Hiyo ni mojawapo. Nimesema Indirect kwasababu kuna watakao tamani kupunguza mzigo wa malezi. Kwa sasa ni kweli birth rate ime decline kidogo ila ni kwa records kabla elimu...
  2. uran

    Mtag shabiki wa Simba na umtakie pole kwa kumaliza msimu bila taji lolote

    Mbona mnasahau kirahisi hivyo. Muungano wamebeba nani? Hata Ngao tunayo.
  3. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Elimu ni gharama sana. Serikali bado haijafikia uwezo wakuweza kuchangia elimu kwa 100% Kufanya elimu bure kabisa wanazidiwa sana. Nimependekeza Halmashauri ndio zihusike kwa kubaini kaya zinazohitaji msaada. Lakini hii itasaidia pia hata kuregulate population growth indirect, Mtu akifikiria...
  4. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Asante Mkuu. Usisahau kudrop Vote yako please
  5. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Nakusahau vipi? 😘 thanks for Vote
  6. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Evelyn Salt pita huku kuna pesa. Mwl wa zamani Madame B pita huku kuna Idea, na vile uko wizarani it can help. My darling love financial services pita hapa. Mtani Vincenzo Jr hapa wewe ni ndugu yangu. Jamaa yangu Mtoto halali na hela. By the way don't forget to press Vote.
  7. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Nina moja tena la Kuhusu Afya nikikamilisha natupia tu.
  8. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Yes, Iko kwenye post #1. Thank you ephen for your support. Tutagawana hizi pesa. 😘
  9. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Nimetoa Mapendekezo kuhusu hili Napendekeza kiwango cha mchango kisizidi 30,000/= kwa Mwaka, lakini Halmashauri ziwe na utaratibu wa kubaini familia ambazo haziwezi kabisa kutoa. Halmashauri zitenge fungu maalumu kwa ajili ya Elimu hasa kwa zile kaya Maskini.
  10. uran

    FT: Ihefu SC 0-1 Young Africans SC | CRDB Federation Cup | Sheikh Amri Abeid , Arusha | 19.05.2024

    Uto wanakabika kirahisi sana. Pacome washamloga
  11. uran

    FT: Ihefu SC 0-1 Young Africans SC | CRDB Federation Cup | Sheikh Amri Abeid , Arusha | 19.05.2024

    Nilijua tu kwa nyongeza ya dakika Ihefu hawatoboi. 🤣
  12. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Wadau ukipita hapa press Vote. Tugawane hizi pesa
  13. uran

    SoC04 Kurejesha michango ya shule za umma ili kuimarisha Elimu Tanzania

    Nakaribisha Maoni na Maswali
Back
Top Bottom