Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako
1:Iphone kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa...
Mkutano huu pichani ni wa saa 4 asubuhi leo hii kwenye kijiji cha Ughandi, unaambiwa wananchi wengine wameingia mkutanoni na miswaki yao!
Hili ndio jimbo linaloongozwa na mbunge anayeitwa...
Baada ya kujitunza kwa muda mrefu (mashallah),takribani week 3 zilizopita nikampata kijana mmoja tall, handsome, then black (mungu anajua kumbaa mashallah) baada ya kunitaka kwa kipindi kirefu...
Habari za jioni ndugu zangu, NATUMAINI MUWAZIMA WA AFYA.
Msaada kidogo. Naombeni mwenye video ya Nako 2 nako HAWATUWEZI ft Enika.
Youtube kwa sasa haipatikani,Mwenye nayo labda anayo hata kwa...
Habari wana jamiiforum, napenda kuiomba serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja) kumekua na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo...
Kwanza picha linaanza Ile style yake ya mbuzi kagoma lahaula nusu nimwage ubongo wakuu nikajikuta nalia huku nauma meno wigi la nywele lake aisee huyu binti ni mnoma Sana aisee na kwenye kukatika...
Kuna taarifa ya ajali ambapo inasemekana lori limeigonga Coaster iliyotokea Tunduma kuja Mbeya eneo la Simike. Mchana huu.
Inasemekana kuna vifo kadhaa.
----
Hii ajali imetokea leo mlima wa...
Hivi bado kuna haja ya kuendelea kuitumia hii salamu katika zama zetu hizi? Kwa lipi hasa?
Katika misingi ya salamu zote kwa lugha zote duniani hakuna kitu chenye mfanano na "shikamoo".
Ili...
Hawayuu wasomi wenzangu.
Leo katika harakati zangu za hapa na pale za kutafuta mkate wa siku wakati natoka kufundisha subtopic ya quantum tunneling pale UD,
Nikadandia daladala moja ya kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.