Wasalaam,
Dunia inaendelea kubadilika kila siku. Tunaona kuwa maneno yanapotea na badala yake namba na teknolojia ya kidijitali vinachukua nafasi kubwa.
Tangu tunapozaliwa, tunapewa vyeti vyenye...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
1. Rafiki wa kweli hujulikana wakati wa dhiki:
2. Hii itakuwa habari mbaya mno kwa wasayuni wote kuanzia Tell Aviv, hadi Buza pande za kwa Mpalange huko.
3. Mwizi ni mwizi tu huyo ni wa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia...
Full name: Manchester United Football Club
Nickname(s): The Red Devils
Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.
League: Premier League
Website: ManUtd.com...
Hivi huyo Mnafiki na Msaliti aliyetusaliti sana Mechi za Yanga SC Beki Henock Inonga Baka mnambembeleza wa nini ili abakie Simba SC?
Muacheni aende huko Yanga SC anakokutaka kisha nitawaambieni...
Kudadadeki kamata Kiteknolojia Mfumo wa Mawasiliano hasa wa Ndege(Anga) kisha fuatilia kwa umakini sana Ratiba za Kiongozi wa Juu kisha msetini vyema katika Target na akijaa tu ingilieni Mfumo wa...
Ukistajabu ya Musa utashangaa ya filauni huu ni msemo waliotumia wahenga na ndioa tunashangaa mbona kipindi cha mwenda zake dada alisumbua sana ila kwa sasa kamgusa mama tu watu wamempita naye...
Wadau natafuta mke mwenye sifa zifuatazo:
1) Awe muislamu
2) Kazi sio lazima
3) Awe na upendo asije kujaribu awe serious tufunge ndoa
4) Asiwe na mtoto na pia asizid miaka 35
5)Awe mweupe
Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.