Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii...kwakweli ni AIBU Sana na tuna create taifa masikini na OMBA OMBA pale ambapo katika Population ya watu milioni 61 wanaolipa kodi ni ni milioni 3 tu.... Unajua hadi inatia woga hata kule...
2 Reactions
8 Replies
16 Views
Habari zenu wakuu. Nimechoka kununua GB 1 kwa Tsh 2,100 kila siku ambalo halimalizi hata kipindi cha lisaa limoja na nusu YouTube. Nimefikia maamuzi ya kununua Router Nina Smart TV yenye kuingia...
4 Reactions
40 Replies
443 Views
Mr pipa sijawahi rudia nyimbo moja Mara 5 Mimi nikipakua nyimbo nasikilizaga mara mbili ya tatu nafuta ila huu mkwaju wa hawa jamaa mpaka sasa nimei play Mara 78 Asee hii bonge moja la pini...
1 Reactions
1 Replies
42 Views
Hebu tuwe serious! Hivi hawa wavuta bangi ndiyo wawe ndiyo brand ya mkoa? Hehehe! Ahaa!
3 Reactions
6 Replies
7 Views
wakuu msiseme sikuwashirikisha ndoto yangu ya kutaka namimi ninyee juu kabla sijaitwa na muumba. Naomba muongozo wapi zinaweza kutumika kokoto za ubuyu (zile laini) na wapi natakiwa kutumia...
1 Reactions
12 Replies
246 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia...
8 Reactions
66 Replies
1K Views
Baby . Reo nirienda kupima mareria nikaambiwa na dokita nina yutiyai,naomba unitumie era ya dawa,nitafulai sana........ Mwanamke wa hivi ni bora nikae mwenyewe
40 Reactions
105 Replies
1K Views
American-Israel Mercenary Benjamin Reuben Captured During Failed Coup-Attempt in the Congo MAY 20, 2024 American-Israeli mercenary Benjamin Reuben has been captured after a failed coup in the...
0 Reactions
1 Replies
9 Views
Huu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine. Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space...
8 Reactions
67 Replies
2K Views
Wanaume wengi na vijana wengi wa humu hawana pesa ndefu wala michongo ya kueleweka kama wanawake ndo maana wanaume wa humu wamejaa makasiriko. Kila uzi wanawake, mara singo mom jamani tafuteni...
40 Reactions
346 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,520
Posts
49,665,080
Back
Top Bottom