Naona mleta mada kajiingiza kwenye mabishano badala ya kuendelea na kazi yake.Sio kila swali linahitaji kujibiwa ukifanya hivyo unaenda kupoteza mwelekeo
Naomba kuuliza mtumishi wa Mungu.
1.Ili kupata matokeo ktk kipengere husika natakiwa nilifanye zoezi hili kwa siku ngapi?
(a)je ni lazima iwe kwa mfululizo?
2.Je naruhusiwa kuchanganya vipengere tofauti tofauti kwa siku?
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.