Recent content by johnthebaptist

  1. J

    Propaganda za uhasama wa Mbowe na Lissu ni za kijuha sana.

    Mchungaji Msigwa: Ndani ya Chadema kuna Fitina na Uhuni mkubwa
  2. J

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Kumbi ziko za kutosha lakini angeenda kuongelea kwenye ofisi za chama!
  3. J

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Urafiki wa Msigwa na ASAS una historia ndefu tangu 1980s hivyo kumfadhili siyo kumnunua
  4. J

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Awali ASAS alitaka kumfadhili mchungaji Msigwa lakini akazuiwa kwa maelekezo kutoka juu
  5. J

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Kwa sababu Chadema kumejaa fitina na Uhuni mkubwa 😄😄
  6. J

    Kuelekea 2025 Kwanini CCM mnapenda kufanyia mikutano ya Katibu Mkuu wa Chama eneo la stendi ya mabasi?

    Mchungaji Msigwa: Ndani ya Chadema kumejaa Fitina na Uhuni mkubwa
  7. J

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Niliwahi kusema hapa jamvini kwamba muda siyo mrefu itajulikana Wabunge wa Viti Maalum akina Halima Mdee na wenzake walifikaje Bungeni na Kwanini Mnyika hakushtaki Mahakamani kama kweli akina Mahera waligushi Saini yake Mchungaji Msigwa ambaye alikuwa Mjumbe wa Kamati Kuu anasema Chadema kuna...
  8. J

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Kukata Rufaa ndio unaitisha Press nyumbani kwako? Huyo ameshaaga 🐼
  9. J

    Mchungaji Msigwa wa CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari leo saa 5:00 asubuhi

    Erythrocyte ameshaleta Taarifa nami niko kule nachangia 😄
  10. J

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Sisi ndio tuko Iringa tunajua mchezo Wote simbilisi wewe 😂 Creti alizonunuliwa Mrema pale Gangilonga Bilionea Mungai Ndiye aliclear bill
  11. J

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

    Kwa sasa Mchungaji Msigwa atapata ugumu kugombea ubunge Iringa kwa sababu ya Vita baridi Kati yake na Mwenyekiti wa Mkoa Bilionea Mungai Ni Mungai Ndiye kasababisha Sugu ashinde Kanda
Back
Top Bottom