Nguvu ya mwanamke ipo mdomoni. Usijisumbue kushindana na mwanamke kwa kujibizana nae atakushinda tu nawe utaishia kumpa kichapo.
Mwanamke anauwezo wa kuongea kitu cha uongo cha kukudhalilisha na kikaonekana ni cha kweli
Huyu wagu nilifuga nae ndoa, nimemsomesha Chuo na nimemtafutia kazi Serekalini na nina mtoto nae (Anajua alipotoka na mahali alipo) mtu niliemkuta nae ni mume wa mtu.
Hivyo hii njia yangu inamtesa maana hajui nawaza nini.
Tena siku niliyomfumania ilibaki kidogo niue. Maana nilimkuta live anamegwa.
(Nilikuja mfikiria sana mtoto, Nikahairisha huo mpango na kuamua kumuacha na kuchagua njia hii ya kukaa kimya).
Hiyo njia ya kunyamaza inatosha.
Wala usihangaike kumjibu wala kumshtaki popote. Kiuhalisia huyo anamaumivu ya wewe kumuacha ndio maana anahasira na wewe.
Mimi nilikuwa na senario kama hii yako (Tena mimi alikuwa mke wa ndoa) kuna siku nitakuja wasimulia humu. Niliamua kukaa kimya tu na...
Shukrani mkuu,
Conclussion ya hii simulizi nimeipata hapa kwako.
1. Msaliti ni msaliti tu (Nyoka hata akijivua gamba, hawezi kuwa Mjusi - bado ataendelea kuwa Nyoka)
2. Mazoea ya wapenzi wengi waliofanya mambo mengi ya pamoja - huwaletea shida sana baada ya kuachana. (Kuna connection fulani...
Pole sana mtoa mada.
Ukweli ni kwamba kwenye kila familia kunakuwa na jambo zuri au baya ambalo linaiandama familia hiyo na huwa inatokana na wazazi na huendelea hadi kizazi cha tatu cha huyo mzazi msababishi.
Kwa mfano kuna familia utakuta mzazi wao alikuwa na akili sana, hii itaenda hadi kwa...
Hata hawa tulionao wana mitazamo kama ya huyu Bibi. Mwanamke huwa anamkubali mwanaume ambaye ana kazi na uwezo wa kumtunza.
Angalia jinsi wanaume wengi wanaoachishwa kazi, utakuta na ndoa zao zinakuja kuvunjika.
Wanawake wengi hawawezi kuwa faraja kwa mwanaume asiye na uwezo, wao wanaangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.