Mkuu najaribu kuangalia forward tunaohusishwa nao kwakwli nachanganyikiwa...yule Sesko wa RB Salzburg ni Haaland mtupu...ila yle Gyokeres naye ni kifala...huku Zirkzee naye ni hatari...yaani inabidi tupate mtu hii midomo ya wapinzani tuikate mwakani🤠🤠
Una kaufala Fulani hivi🤠🤠...nipo sana hmu na Sasa tunaanza maandalizi ya fezi foo....I'm more confident than ever....makombe yananukia....mwakani EPL kipara Hana chake na yy kashanusa hatari ya Arteta....tupondeni ila mwezi wa nane tabu zitawarudiq upya....
Ni lini nilisema tutabeba UEFA mkuu 🤠 🤠....usinilishe maneno shehe....ndoo ya EPL Emery katufanyia roho mbaya tu🤠🤠...ila fezi foo hii kitu tunanyakua...msimu ujao big six wte mjiandae kutuchangia points 6 maana tuna jambo letu
Unabwabwaja nn ww Lofa Mlinda mageti🤠🤠....akichukua kipara kastahili..tutajifunza kwa mistakes tulizofanya na mwakani kwny fezi foo tunabeba hii ndoo....msitufananishe sisi na nyny...tupo mbali sana kwa sasa
Wanachonikera Wana vipasi Fulani vya kisenge wanacheza kule nyuma itakuja kuwa cost....waache ufala kama hamna space wabutue mbele....watu tunaombea draw hapa j2 tumkaange mtu kono la sokwe
Unaweza kukuta hyu anayejiita ImMrLiverpool ni kijana wa miaka 19 anayejifunza uchawi akiwa bdo kijana mdogo sana🤠🤠...na leo ndo atalia kabisa baada ya Spurs kupata Draw dhidi ya City
Msimu ujao mnamaliza wa 15 hakyanani🤠🤠...kama mentality ya timu yenu ndo hii kwmba mmetufunga ila wachezaji Fulani hawakuwepo hakyanani mna Hali ngumu huko mbele....labda muuze kikosi kizima kitu ambacho hakiwezekani....tabu ipo palepale
Nguvu ya kuwananga leo hatuna kabisa🤠🤠...sawa mmetoa lakini kwa Mbinde sana....hamjaitoa kirahisi kabisa.... Forgotten na genge lako la kina Flano nawapongeza sana kwa mpira mzuri....mngetimia leo full squad mlikuwa mnatufunga kabisa yaani
Build up from the back..high pressing...counter pressing...mid block...kwa kutegemea mtu mmoja...Cole Palmer...acha upimbi shehe...mechi zte mlizodundwa hyo dogo hakuwepo ukiachana na mechi yetu??...narudi palepale angekuwepo hyo fala wenu msingefanya chchte mbele ya ile midfield yetu siku...
Kipindi sisi tunamaliza nafasi ya 6 nyny mnabeba ndoo na Jackson au sio🤠🤠...inatakiwa mechi ijayo tukikutana tuwalambe 10 kabisa...maana kuwafunga sio ishu sikuhz ila kuwafunga migoli mingi ndo inatakiwa iwe utaratibu rasmi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.